16 Hakuna mtu anayeshona kiraka cha kitambaa kipya juu ya vazi la nje la zamani; kwa maana hicho kitambaa kipya kitatoka kwenye hilo vazi nalo litararuka vibaya zaidi.+
16 Hakuna mtu anayeshona kiraka cha nguo mpya juu ya vazi la nje la zamani; kwa maana nguvu zake zingelivuta lile vazi la nje nalo lingeraruka vibaya zaidi.+