32 Lakini Yesu akawaita wanafunzi wake na kuwaambia: “Ninausikitikia umati,+ kwa sababu tayari wamekaa pamoja nami siku tatu nao hawajala chochote. Sitaki kuwaacha waende wakiwa na njaa,* wasije wakazimia njiani.”+
32 Lakini Yesu akawaita wanafunzi wake na kusema:+ “Ninausikitikia+ umati, kwa sababu tayari wamekaa pamoja nami siku tatu nao hawana chakula; nami sitaki kuwaacha waende zao wakiwa wamefunga. Huenda wakazimia barabarani.”