-
Mathayo 15:32Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
32 Lakini Yesu akawaita wanafunzi wake kwake na kusema: “Nahisi sikitiko kwa ajili ya umati, kwa sababu tayari ni siku tatu ambazo umekaa pamoja nami nao hauna kitu cha kula; nami sitaki kuuacha uende zao ukifunga. Yawezekana ukazimia barabarani.”
-