Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Lakini Yesu akawaita wanafunzi wake na kuwaambia: “Ninausikitikia umati,+ kwa sababu tayari wamekaa pamoja nami siku tatu nao hawajala chochote. Sitaki kuwaacha waende wakiwa na njaa,* wasije wakazimia njiani.”+

  • Mathayo 15:32
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 32 Lakini Yesu akawaita wanafunzi wake kwake na kusema: “Nahisi sikitiko kwa ajili ya umati, kwa sababu tayari ni siku tatu ambazo umekaa pamoja nami nao hauna kitu cha kula; nami sitaki kuuacha uende zao ukifunga. Yawezekana ukazimia barabarani.”

  • Mathayo
    Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
    • 15:32 cf 155

  • Mathayo
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 15:32

      ‘Mfuasi Wangu’, uku. 155

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki