27 Lakini ili tusiwakwaze,+ nenda baharini utupe ndoano na uchukue samaki wa kwanza atakayetokea, na utakapofungua kinywa chake, utapata sarafu ya fedha.* Ichukue nawe uwape kwa ajili yangu na kwa ajili yako.”
27 Lakini ili tusiwakwaze,+ wewe nenda baharini, utupe ndoano, na kuchukua samaki wa kwanza atakayetokea, ukifungue kinywa chake, nawe utapata sarafu ya stateri. Ichukue na uwape kwa ajili yangu na kwa ajili yako.”+