9 Isitoshe umati uliomtangulia na wale waliomfuata waliendelea kupaza sauti: “Tunaomba umwokoe, Mwana wa Daudi!+ Amebarikiwa yule anayekuja katika jina la Yehova!*+ Tunaomba umwokoe, katika vilele vilivyo juu!”+
9 Na ule umati, wale waliokuwa wakienda mbele yake na wale waliokuwa wakifuata wakawa wakipaaza sauti: “Mwokoe Mwana wa Daudi, tunaomba!+ Aliyebarikiwa ni yule anayekuja katika jina la Yehova!+ Mwokoe, tunaomba, katika vilele vilivyo juu!”+