16 Basi wakawatuma wanafunzi wao kwake, pamoja na wafuasi wa chama cha Herode.+ Wakamwambia: “Mwalimu, tunajua wewe husema ukweli nawe hufundisha njia ya Mungu katika kweli, na hutafuti kibali cha yeyote, kwa maana huangalii sura ya nje ya mtu.
16 Basi wakawatuma wanafunzi wao kwake, pamoja na wafuasi wa chama cha Herode,+ wakisema: “Mwalimu, tunajua wewe una ukweli nawe hufundisha njia ya Mungu katika kweli, na hujali mtu yeyote, kwa maana wewe hutazami sura ya mtu.+