15 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki!+ kwa sababu mnasafiri baharini na kwenye nchi kavu ili kumgeuza imani mtu mmoja, na anapogeuka, mnamfanya astahili Gehena* mara mbili zaidi yenu.
15 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki!+ kwa sababu mnasafiri katika bahari na katika nchi kavu ili kugeuza imani ya mtu mmoja, na anapogeuka ninyi humfanya astahili Gehena* mara mbili zaidi kuliko ninyi wenyewe.