25 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki! kwa sababu mnasafisha upande wa nje wa kikombe na wa sahani,+ lakini ndani vimejaa pupa*+ na kutojizuia.+
25 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki! kwa sababu ninyi husafisha upande wa nje wa kikombe+ na wa sahani, lakini upande wa ndani vimejaa vitu vilivyoporwa+ na mambo yenye kupita kiasi.