27 “Ole wenu, waandishi na Mafarisayo wanafiki!+ kwa sababu mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa,+ ambayo kwa nje yanapendeza lakini ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila namna ya uchafu.
27 “Ole wenu ninyi, waandishi na Mafarisayo, wanafiki!+ kwa sababu mnafanana na makaburi yaliyopakwa chokaa,+ ambayo kwa nje yanaonekana kwa kweli kuwa mazuri lakini ndani yamejaa mifupa ya wafu na kila namna ya ukosefu wa usafi.