-
Mathayo 26:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Akawaambia: “Nendeni jijini kwa mwanamume fulani mkamwambie, ‘Mwalimu anasema: “Wakati wangu uliowekwa umekaribia; nitasherehekea Pasaka pamoja na wanafunzi wangu nyumbani kwako.”’”
-