-
Mathayo 26:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Akawaambia: “Nendeni jijini kwa mwanamume fulani mkamwambie, ‘Mwalimu anasema: “Wakati wangu uliowekwa umekaribia; nitasherehekea Pasaka pamoja na wanafunzi wangu nyumbani kwako.”’”
-
-
Mathayo 26:18Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
18 Akasema: “Nendeni ndani ya jiji kwa Fulani-wa-fulani na mmwambie, Mwalimu asema, ‘Wakati wangu uliowekwa uko karibu; hakika nitasherehekea sikukuu ya kupitwa pamoja na wanafunzi wangu nyumbani mwako.’”
-