42 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo walio na imani, ingekuwa afadhali ikiwa jiwe la kusagia ambalo huzungushwa na punda lingefungwa shingoni mwake kisha atupwe baharini.+
42 Lakini yeyote anayemkwaza mmoja wa hawa wadogo wanaoamini, ingekuwa afadhali ikiwa jiwe la kusagia kama lile ambalo huzungushwa na punda lingewekwa shingoni pake naye atupwe baharini.+