10Alipotoka hapo akaenda kwenye mipaka* ya Yudea, ng’ambo ya Yordani, na umati ukakusanyika tena karibu naye. Kama kawaida yake, akaanza tena kuwafundisha.+
10Kutoka hapo akaondoka na kuja kwenye mipaka ya Yudea na ng’ambo ya Yordani, na tena umati ukamjia, na kama alivyokuwa na desturi ya kufanya akaanza tena kuwafundisha.+