17 Alikuwa akiwafundisha akisema: “Je, haikuandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala kwa ajili ya mataifa yote’?+ Lakini mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+
17 lakini akaendelea kufundisha na kusema: “Je, haikuandikwa, ‘Nyumba yangu itaitwa nyumba ya sala+ kwa ajili ya mataifa yote’?+ Lakini ninyi mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+