28 Mmoja kati ya waandishi waliokuwa wamekuja na kusikia wakibishana, akijua kwamba alikuwa amewajibu vizuri, akamuuliza: “Ni amri gani iliyo ya kwanza* kati ya zote?”+
28 Sasa mmoja kati ya waandishi aliyekuwa amekuja na kuwasikia wakibishana, akijua kwamba alikuwa amewajibu vizuri, akamuuliza: “Ni amri gani iliyo ya kwanza kati ya zote?”+