3 Alipokuwa Bethania akila* katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma, mwanamke fulani akaja na chupa ya alabasta iliyokuwa na mafuta yenye marashi, nardo halisi, ghali sana. Akaifungua na kuanza kuyamimina juu ya kichwa cha Yesu.+
3 Na alipokuwa Bethania katika nyumba ya Simoni mwenye ukoma,+ akiwa ameketi kwenye mlo, mwanamke akaja na chupa ya alabasta iliyo na mafuta yenye marashi, nardo halisi, ghali sana. Akaivunja ili kuifungua na kuanza kuyamimina juu ya kichwa chake.+