Luka 4:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Alipotoka katika sinagogi akaenda nyumbani kwa Simoni. Mama mkwe wa Simoni alikuwa na homa kali, wakamwomba Yesu amponye.+ Luka 4:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Baada ya kutoka katika sinagogi akaingia katika nyumba ya Simoni. Basi mama-mkwe wa Simoni alikuwa akitaabishwa na homa kali, nao wakamwomba Yesu kwa ajili yake.+ Luka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 4:38 “Kila Andiko,” uku. 187
38 Alipotoka katika sinagogi akaenda nyumbani kwa Simoni. Mama mkwe wa Simoni alikuwa na homa kali, wakamwomba Yesu amponye.+
38 Baada ya kutoka katika sinagogi akaingia katika nyumba ya Simoni. Basi mama-mkwe wa Simoni alikuwa akitaabishwa na homa kali, nao wakamwomba Yesu kwa ajili yake.+