42 Hata hivyo, kulipopambazuka, akaenda mahali pasipo na watu.+ Lakini umati ukaanza kumtafuta* na walipofika mahali alipokuwa, wakajaribu kumzuia asiondoke.
42 Hata hivyo, kulipokuwa mchana, akaenda mahali ambapo hapakuwa na watu.+ Lakini umati ukaanza kumtafuta huku na huku na kuja mpaka alipokuwa, nao ukajaribu kumzuia asitoke kwao.