34 Pia, mkiwakopesha* wale tu ambao mnatumaini watawalipa, mnapata faida gani?+ Hata watenda dhambi huwakopesha watenda dhambi ili warudishiwe kiasi kilekile.
34 Pia, mkikopesha bila faida+ wale ambao mnatumaini kupokea kutoka kwao, hilo linawapa sifa gani? Hata watenda-dhambi huwakopesha watenda-dhambi bila faida ili wapate kurudishiwa kwa kadiri ileile.+