-
Luka 6:34Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
34 Pia, mkikopesha bila faida wale ambao mwatumaini kupokea kutoka kwao, hilo lina sifa gani kwenu? Hata watenda-dhambi hukopesha watenda-dhambi bila faida ili wapate kurudishiwa kwa kadiri ileile.
-