23 Ndipo akawaambia wote: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, lazima ajikane mwenyewe,+ aubebe mti* wake wa mateso siku baada ya siku na aendelee kunifuata.+
23 Ndipo akaendelea kuwaambia wote: “Mtu yeyote akitaka kunifuata, na ajikane+ mwenyewe na kuuchukua mti wake wa mateso siku baada ya siku na kunifuata sikuzote.+