36 Walipokuwa wakisikia ile sauti, wakamwona Yesu akiwa peke yake. Lakini wakakaa kimya na katika siku hizo hawakumwambia mtu yeyote lolote kati ya mambo waliyoona.+
36 Na ile sauti ilipokuwa ikitokea Yesu alionekana akiwa peke yake.+ Lakini wakaendelea kukaa kimya nao hawakumwambia yeyote siku hizo lolote kati ya mambo waliyoona.+