-
Luka 11:1Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Sasa alikuwa mahali fulani akisali, alipomaliza, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia: “Bwana, tufundishe jinsi ya kusali, kama vile Yohana alivyowafundisha wanafunzi wake.”
-