-
Luka 11:1Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Sasa pindi alipokuwa mahali fulani akisali, alipokoma, mtu fulani kati ya wanafunzi wake alimwambia: “Bwana, tufundishe jinsi ya kusali, sawa na vile Yohana pia alivyofundisha wanafunzi wake.”
-