6 Kisha akawaambia mfano huu: “Mtu fulani alikuwa na mtini uliopandwa katika shamba lake la mizabibu, akaenda kutafuta matunda kwenye mti huo lakini hakupata.+
6 Ndipo akaendelea kutoa mfano huu: “Mtu fulani alikuwa na mtini umepandwa katika shamba lake la mizabibu,+ naye akaja akitafuta matunda juu yake,+ lakini hakupata yoyote.+