Luka 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kisha yule mwana akamwambia, ‘Baba, nimetenda dhambi dhidi ya mbingu na dhidi yako.+ Sistahili tena kuitwa mwanao.’ Luka 15:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Ndipo yule mwana akamwambia, ‘Baba, nimetenda dhambi juu ya mbingu na juu yako,+ sistahili tena kuitwa mwana wako. Unifanye niwe kama mmoja wa watu wako waliokodiwa.’+ Luka Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 15:21 Yesu—Njia, uku. 202 Mnara wa Mlinzi,2/15/1990, uku. 21
21 Kisha yule mwana akamwambia, ‘Baba, nimetenda dhambi dhidi ya mbingu na dhidi yako.+ Sistahili tena kuitwa mwanao.’
21 Ndipo yule mwana akamwambia, ‘Baba, nimetenda dhambi juu ya mbingu na juu yako,+ sistahili tena kuitwa mwana wako. Unifanye niwe kama mmoja wa watu wako waliokodiwa.’+