6 Bwana akasema: “Kama mngekuwa na imani inayolingana na mbegu ya haradali, mngeuambia mti huu wa mforsadi, ‘Ng’oka ukapandwe baharini!’ nao ungewatii.+
6 Ndipo Bwana akasema: “Kama mngekuwa na imani yenye ukubwa wa mbegu ya haradali, mngeuambia mforsadi huu mweusi, ‘Ng’oka ukapandwe baharini!’ nao ungewatii ninyi.+