35 Watu walikuwa wamesimama hapo wakitazama. Lakini wale viongozi walikuwa wakimdhihaki na kusema: “Aliwaokoa wengine; mwacheni ajiokoe mwenyewe, ikiwa yeye ndiye Yule Aliyechaguliwa, Kristo wa Mungu.”+
35 Na wale watu wakasimama wakitazama.+ Lakini wale watawala walikuwa wakicheka kwa dharau, wakisema:+ “Aliwaokoa wengine; mwacheni ajiokoe mwenyewe, ikiwa huyu ndiye Kristo wa Mungu, Yule Aliyechaguliwa.”+