42 nao wakamwambia yule mwanamke: “Hatuamini kwa sababu tu ya maneno yako; kwa maana sisi wenyewe tumesikia, na tunajua kwamba kwa hakika mtu huyu ndiye mwokozi wa ulimwengu.”+
42 nao wakaanza kumwambia yule mwanamke: “Hatuamini tena kwa sababu ya maneno yako; kwa maana sisi wenyewe+ tumesikia nasi tunajua kwamba mtu huyu kwa hakika ndiye mwokozi+ wa ulimwengu.”