Yohana 7:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Hata hivyo, wengi katika umati walimwamini,+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapokuja, je, atafanya ishara nyingi kuliko alizofanya mtu huyu?” Yohana 7:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Bado, wengi kati ya umati walimwamini;+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapofika, je, atafanya ishara+ zaidi ya zile ambazo mtu huyu amefanya?” Yohana Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:31 Yesu—Njia, kur. 158-159 Mnara wa Mlinzi,4/1/1988, uku. 9
31 Hata hivyo, wengi katika umati walimwamini,+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapokuja, je, atafanya ishara nyingi kuliko alizofanya mtu huyu?”
31 Bado, wengi kati ya umati walimwamini;+ nao wakaanza kusema: “Kristo atakapofika, je, atafanya ishara+ zaidi ya zile ambazo mtu huyu amefanya?”