14 Yesu akawajibu: “Hata ikiwa ninatoa ushahidi juu yangu mwenyewe, ushahidi wangu ni wa kweli, kwa sababu ninajua nilikotoka na ninakoenda.+ Lakini ninyi hamjui nilikotoka wala ninakoenda.
14 Yesu akajibu, akawaambia: “Hata ikiwa ninatoa ushahidi juu yangu mwenyewe, ushahidi+ wangu ni wa kweli, kwa sababu ninajua nilikotoka na ninakoenda.+ Lakini ninyi hamjui nilitoka wapi na ninaenda wapi.