22 Wazazi wake walisema hivyo kwa sababu waliogopa Wayahudi,+ kwa maana tayari Wayahudi walikuwa wamekubaliana kwamba mtu yeyote ambaye angemkiri kuwa ndiye Kristo, angefukuzwa katika sinagogi.+
22 Wazazi wake walisema mambo hayo kwa sababu walikuwa wakiwaogopa+ Wayahudi, kwa maana Wayahudi walikuwa tayari wamefikia mapatano kwamba, ikiwa yeyote angemkiri kuwa ndiye Kristo, angefukuzwa katika sinagogi.+