-
Yohana 9:22Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
22 Wazazi wake walisema mambo hayo kwa sababu walikuwa wakihofu Wayahudi, kwa maana Wayahudi walikuwa tayari wamefikia patano kwamba, ikiwa yeyote angemuungama kuwa ndiye Kristo, angepaswa kufukuzwa katika sinagogi.
-