13Sasa, kwa sababu alijua kabla ya sherehe ya Pasaka kwamba saa yake ya kuondoka ulimwenguni na kwenda kwa Baba+ ilikuwa imefika,+ Yesu akiwa amewapenda walio wake ulimwenguni, aliwapenda mpaka mwisho.+
13Sasa, kwa sababu alijua kabla ya sherehe ya pasaka kwamba saa yake ya kutoka katika ulimwengu huu kwenda kwa Baba ilikuwa imefika,+ Yesu, akiwa amewapenda walio wake mwenyewe waliokuwa ulimwenguni,+ akawapenda mpaka mwisho.