14 Lakini Petro akasimama pamoja na wale 11+ na kuzungumza nao kwa sauti kubwa akisema: “Watu wa Yudea nanyi nyote wakaaji wa Yerusalemu, jueni jambo hili nanyi msikilize kwa makini maneno yangu.
14 Lakini Petro akasimama pamoja na wale kumi na mmoja+ na kupaaza sauti yake na kuwaambia hivi: “Watu wa Yudea nanyi nyote wakaaji wa Yerusalemu,+ acheni hili lijulikane kwenu nanyi tegeni sikio msikie maneno yangu.