11 Mtu huyo akiwa bado amewashika Petro na Yohana, watu wote wakawakimbilia pamoja kwenye sehemu iliyoitwa Safu ya Nguzo za Sulemani,+ wakiwa wameshangaa sana.
11 Basi, kwa kuwa mtu huyo alikuwa akiwashikilia Petro na Yohana, watu wote waliwakimbilia pamoja kwenye eneo lililoitwa mistari ya nguzo za Sulemani,+ wakiwa wamepotewa na akili kwa sababu ya mshangao.