10 na ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli kwamba katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ ambaye mlimuua kwenye mti+ lakini Mungu akamfufua kutoka kwa wafu,+ kupitia kwake mtu huyu anasimama hapa mbele yenu akiwa ameponywa.
10 acheni ijulikane kwenu nyote na kwa watu wote wa Israeli, kwamba katika jina la Yesu Kristo Mnazareti,+ ambaye mlimtundika mtini+ lakini ambaye Mungu alimfufua kutoka kwa wafu,+ kupitia kwake, mtu huyu anasimama hapa akiwa na afya mbele yenu.