9 Kwa hiyo Petro akamwambia: “Kwa nini ninyi wawili mlikubaliana kuijaribu roho ya Yehova?* Tazama! Miguu ya wale waliomzika mume wako, ipo mlangoni, nao watakubeba na kukutoa nje.”
9 Kwa hiyo Petro akamwambia: “Kwa nini mlikubaliana kati yenu wawili kuijaribu+ roho ya Yehova? Tazama! Miguu ya wale waliomzika mume wako ipo mlangoni, nao watakubeba na kukutoa nje.”