15 Hata wakawaleta wagonjwa kwenye njia kuu na kuwalaza kwenye vitanda vidogo na mikeka, ili Petro akipita hapo, angalau kivuli chake kiwaangukie baadhi yao.+
15 hivi kwamba wakawaleta wagonjwa nje hata katika zile njia pana na kuwalaza huko juu ya vitanda na machela, ili, wakati Petro anapopita hapo, angalau kivuli chake kipate kumwangukia mtu fulani kati yao.+