7 Kwa hiyo, neno la Mungu likazidi kuenea,+ na idadi ya wanafunzi ikazidi kuongezeka sana+ huko Yerusalemu; na umati mkubwa wa makuhani wakawa waamini.+
7 Kwa sababu hiyo neno la Mungu likaendelea kukua,+ na hesabu ya wanafunzi ikazidi kuongezeka sana katika Yerusalemu;+ na umati mkubwa wa makuhani+ ukaanza kuitii+ imani.