27 Ndipo akaondoka na kwenda, na tazama! akamwona towashi* Mwethiopia, mwanamume aliyekuwa na mamlaka chini ya Kandake, malkia wa Waethiopia, na ambaye alisimamia hazina yote ya malkia. Alikuwa ameenda Yerusalemu kuabudu,+
27 Ndipo akaondoka akaenda, na, tazama! towashi+ Mwethiopia,+ mwanamume aliye na mamlaka chini ya Kandake malkia wa Waethiopia, na ambaye alikuwa juu ya hazina yote ya malkia. Huyo alikuwa ameenda Yerusalemu kuabudu,+