17 Basi Anania akaenda na kuingia katika ile nyumba, naye akaweka mikono yake juu ya Sauli na kusema: “Sauli, ndugu, Bwana Yesu aliyekutokea barabarani ulipokuwa ukija, amenituma ili uweze kuona tena na ujazwe roho takatifu.”+
17 Kwa hiyo Anania akaenda zake na kuingia katika ile nyumba, naye akaweka mikono yake juu yake na kusema: “Sauli, ndugu, yule Bwana, yule Yesu aliyekutokea katika barabara uliyoijia, amenituma, ili upate kuona tena na kujazwa roho takatifu.”+