50 Lakini Wayahudi wakawachochea wanawake mashuhuri waliomwogopa Mungu, na wakuu wa jiji, nao wakaanza kuwatesa+ Paulo na Barnaba na kuwatupa nje ya mipaka yao.
50 Lakini Wayahudi+ wakawachochea wanawake wenye kusifika waliomwabudu Mungu na wakuu wa jiji, nao wakazusha mateso+ juu ya Paulo na Barnaba na kuwatupa nje ya mipaka yao.