14 Na mwanamke aliyeitwa Lidia, muuzaji wa nguo za rangi ya zambarau, wa jiji la Thiatira+ aliyekuwa mwabudu wa Mungu, alikuwa akisikiliza, na Yehova* akaufungua moyo wake wazi ili asikilize kwa makini mambo ambayo Paulo alikuwa akisema.
14 Na mwanamke fulani anayeitwa Lidia, muuzaji wa nguo za rangi ya zambarau, wa jiji la Thiatira+ aliyekuwa mwabudu wa Mungu, alikuwa akisikiliza, na Yehova akafungua wazi moyo+ wake asikilize kwa makini mambo yaliyokuwa yakisemwa na Paulo.