24 Wachukue watu hawa pamoja nawe+ ujitakase kisherehe pamoja nao na kuwagharimia,+ ili wapate kunyolewa+ vichwa vyao. Na kwa hiyo kila mtu atajua kwamba uvumi mwingi walioambiwa juu yako si kitu, bali kwamba unatembea kwa utaratibu, wewe mwenyewe pia ukishika Sheria.+