Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Naye atamtolea Yehova toleo lake, kondoo-dume mmoja asiye na kasoro, aliye katika mwaka wake wa kwanza awe toleo la kuteketezwa+ na mwana-kondoo jike asiye na kasoro, aliye katika mwaka wake wa kwanza awe toleo la dhambi+ na kondoo-dume mmoja asiye na kasoro awe dhabihu ya ushirika,+

  • Hesabu 6:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 na kikapu cha keki za mviringo+ zisizo na chachu, za unga laini, zilizotiwa mafuta,+ na mikate myembamba iliyotiwa mafuta,+ na toleo lake la nafaka+ na matoleo yake ya kinywaji.+

  • Hesabu 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Naye atamtolea Yehova yule kondoo-dume akiwa dhabihu ya ushirika+ pamoja na kile kikapu cha keki zisizo na chachu; naye kuhani atatoa toleo lake la nafaka+ pamoja na toleo lake la kinywaji.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki