Mambo ya Walawi 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake. Mambo ya Walawi 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “‘Hii ndiyo sheria ya toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni, litoeni mbele za Yehova mbele ya madhabahu.
2 “‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake.
14 “‘Hii ndiyo sheria ya toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni, litoeni mbele za Yehova mbele ya madhabahu.