25 Waliibadili kweli ya Mungu kwa ajili ya uwongo, nao wakaabudu* uumbaji na kuutolea utumishi mtakatifu badala ya kumtolea Muumba, anayesifiwa milele. Amina.
25 yaani, wale walioibadili kweli+ ya Mungu kwa ajili ya uwongo+ nao wakauheshimu mno uumbaji na kuutolea utumishi mtakatifu badala ya kumtolea Yeye aliyeumba, anayebarikiwa milele. Amina.