Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Kwa sababu ya kujigamba kwake, mwovu hatafuti;+

      Mawazo yake yote ni: “Hakuna Mungu.”+

  • Zaburi 14:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Asiye na akili amesema katika moyo wake:

      “Hakuna Yehova.”+

      Wametenda kwa uharibifu,+ wametenda kwa njia yenye kuchukiza katika shughuli zao.

      Hakuna yeyote anayefanya mema.+

  • Malaki 3:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Mmesema, ‘Hakuna faida kumtumikia Mungu.+ Na kwa vile tumeshika wajibu wetu kwake, na tumetembea kwa huzuni kwa sababu ya Yehova wa majeshi, kuna faida gani?+

  • Yohana 8:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ninyi mmetoka kwa baba yenu Ibilisi,+ nanyi mnataka kufanya tamaa za baba yenu.+ Huyo alikuwa muuaji alipoanza,+ naye hakusimama imara katika kweli, kwa sababu kweli haimo ndani yake. Anaposema uwongo, yeye husema kulingana na mwelekeo wake mwenyewe, kwa sababu yeye ni mwongo na ndiye baba ya uwongo.+

  • 2 Wathesalonike 2:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hiyo ndiyo sababu Mungu huacha utendaji wa kosa uwaendee wao, ili wauamini uwongo,+

  • 2 Timotheo 4:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 nao watageuza masikio yao kutoka kwenye kweli, nao watageuzwa kando kufuata hadithi za uwongo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki