8 Na kwa nini tusiseme, kama watu fulani wanavyodai kwa uwongo kwamba tunasema, “Tufanye mambo mabaya ili mambo mema yaje”? Hukumu dhidi ya watu hao inapatana na haki.+
8 Na kwa nini isisemwe, kama tunavyoshtakiwa kwa uwongo+ na kama watu fulani wanavyosema kuwa sisi husema: “Na tufanye mambo mabaya ili mambo mema yaje”?+ Hukumu+ juu ya watu hao inapatana na haki.+